MAFUTA MAPYA YA NYWELE YAZINDULIWA

Meneja masoko wa kampuni ya MIADI Bibi Mariam Boadi kushoto akionyesha mafuta ya nywele ya Miadi kwenye uzinduzi na semina kwa wasambazajhi na wenye saloon jijini Dar Es Salaam kulia ni Mtaalam wa matumizi wa dawa hito Bwana Sammy Mwachofi
Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya Miadi Bwana David Kamau akizungumza na washiriki wa semina ya matumizi ya mafuta ya Nywele ya Miadi kwenye uzinduzi uliofanyika kwenye Hoteli ya Peacock jijini Dar Es Salaam Hivi karibuni kushoto ni Meneja masoko Bibi Mariam Boadi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA