MAFUTA MAPYA YA NYWELE YAZINDULIWA

Meneja masoko wa kampuni ya MIADI Bibi Mariam Boadi kushoto akionyesha mafuta ya nywele ya Miadi kwenye uzinduzi na semina kwa wasambazajhi na wenye saloon jijini Dar Es Salaam kulia ni Mtaalam wa matumizi wa dawa hito Bwana Sammy Mwachofi
Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya Miadi Bwana David Kamau akizungumza na washiriki wa semina ya matumizi ya mafuta ya Nywele ya Miadi kwenye uzinduzi uliofanyika kwenye Hoteli ya Peacock jijini Dar Es Salaam Hivi karibuni kushoto ni Meneja masoko Bibi Mariam Boadi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA