MAMA NKYA NA BISIMBA WAKAMATWA NA POLISI

Walikwenda Muhimbili wakati Pinda akiwa kwenye kikao na madaktari.Hatufahamu nini kimeendelea ila ni kama walipelekwa kituo cha Osterbay kwa mahojiano.Tunafuatilia.Yasemekana hasa kisa ni maandamano ya jana waliyoyaongoza
Afisa wa polisi aliyehojiwa sababu za kukamatwa kwao amesema walikuwa wanasababisha msongamano mkubwa wa watu na kwamba wangehatarisha amani wakati waziri mkuu akiendelea na kikao

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.