Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, aliyesimamishwa kazi, Blandina Nyoni akifarijiwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Ludivick Utouh, baada ya ibada ya maalumu ya kuuombea mwili wa mamake, marehemu Esther Badi leo katika Kanisa la Kilutheri la Azania Front, Dar es Salaam, kabla ya kusafirishwa kwenda kwao Ilembula, Iringa kwa mazishi
Askofu Mkuu wa KKKT, Dk. Alex Malasusa (kulia) akijadiliana jambo na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Mponda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick (kushoto) na Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye wakati wa shughuli ya kutoa heshima za mwisho kwa marehemu Esther Badi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Wazri Mkuu (Bunge, Uratibu na Siasa), William Lukuvi akimfariji Blandina Nyoni
Blandina Nyoni akisaidiana na ndugu zake kuwefunika jeneza la mwili wa mamake.
William Lukuvi akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Esther badi
Askofu Mkuu wa KKKT, Dk. Alex Malasusa (kulia) akijadiliana jambo na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Mponda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick (kushoto) na Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye wakati wa shughuli ya kutoa heshima za mwisho kwa marehemu Esther Badi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Wazri Mkuu (Bunge, Uratibu na Siasa), William Lukuvi akimfariji Blandina Nyoni
Blandina Nyoni akisaidiana na ndugu zake kuwefunika jeneza la mwili wa mamake.
William Lukuvi akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Esther badi
Comments