Marekani:wanawake kuruhusiwa vitani

Jeshi la marekani limetangaza mipango mipya ya kuwaruhusu wanawake kufanya kazi karibu na maeneo ya vita.

Maafisa katika makao makuu ya jeshi ya Pentagon wanasema mpango huo utatoa maelfu ya kazi kwa wanawake, ingawa kwa sasa hawataruhusiwa kushiriki vita moja kwa moja.

Hata hivyo makundi ya wakereketwa wa haki za wanawake yanasema hatua hiyo ni ndogo sana kuliko walivyotarajia.

Wanataka hatua zingine zaidi kuchukuliwa katika kuwahusisha wanawake katika vita moja kwa moja.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI