MKUU WA MKOA WA RUKWA AWATEMBELEA WAZAZI WA WAZIRI MKUU KIJIJINI KWAO KIBAONI WILAYANI MPANDA

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Injinia Stella Manyanya akisalimiana na Mzee Kayanza Pinda wakati alipowatembelea jana kuwajulia hali. Kushoto ni Mama Kayanza Pinda ambao ni Baba na Mama wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa akiwa katika picha ya pamoja na Mzee na Bibi Kayanza Pinda ambao ni wazazi wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nyumbani kwao Kibaoni Wilayani Mpanda Mkoani Rukwa. Mkuu wa Mkoa alikuwa Wilayani hapo kumuwakilisha Waziri Mkuu kwenye mahafali ya Kidato cha sita Shule ya Sekondari Usevya.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa akitaniana na Mzee Kayanza Pinda alipokuwa anamuaga kuelekea kwenye mahafali ya Shule ya Sekondari Usevya ambapo alienda kumuwakilisha Waziri Mkuu aliyekuwa amealikwa kuwa Mgeni Rasmi kwenye mahafali hayo. Miongoni mwa utani alioutoa Mzee Pinda ni pamoja na kumuita Mkuu huyo wa Mkoa "Mnyatomato" kumaanisha kuwa ni Mtoto wa Manyanya ambapo nyanya kwa kiingereza ni Tomato. Hahahahaaah! (NA HAMZA TEMBA-AFISA HABARI RUKWA);Chanzo;fullshangwe Blog

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*