MVUA ILIYONYESHA JANA MAENEO YA IYUNGA MBEYA YAHARIBU BARABARA NA MIUNDO MBINU YA MAJI

Hii ni barabara ya kata ya kalobe jijini mbeya maji ya mvua yakiwa yanapita juu ya barbara hiyo huku magari yakisubiri kupungua wa kasi ya maji hayo ili yaweze kupita

Hizi ni nyumba ambazo zipo pembezoni mwa mto kalobe zikiwa hatarini kukumbwa na mafuriko wakati wowote

Nyumba hii ipo hatarini muda wowote kukumbwa na mafuriko. CHANZO;MBEYA YETU BLOG

Bomba la maji safi likiwa limekatika baada ya kuangukiwa na moja ya kuta za nyumba zilizojengwa pembezoni mwa mto huo





Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*