NAPE AKAGUA KAMBI YA VIJANA WANAOJIANDAA NA SHEREHE ZA MIAKA 35 YA CCM MWANZA
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwasalimia vijana waliopiga kambi kujiandaa wa kwaride maalum la sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 35 ya CCM, alipotembelea vijana hao kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, leo. Maadhimisho hayo yanafanyika Jumapili hii, Februari 5, 2012 Kitaifa mjini Mwanza.
Comments