Samwel Daniel na Kaindi Taratibu wameremeta
Wakiwa na nyuso za furaha bwana harusi Samwel Daniel na mkewe Kaindi Taratibu wakiwa kwenye picha huku bwana harusi akiwa amembeba mke wake, baada ya kufunga ndoa yao katika ofisi ya mkuu wa wilaya ya Kibaha hivi karibuni na kufuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika ukumbi wa Mbezi Luxury jijini Dar es Salaam.
Wakiwa na nyuso za furaha Bwana harusi Samwel Daniel na mkewe Kaindi Taratibu wakiwa kwenye pozi la picha baada ya kufunga ndoa yao katika ofisi ya mkuu wa wilaya ya Kibaha hivi karibuni na kufuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika ukumbi wa Mbezi Luuiry jijini Dar es Salaam.
Bw.harusi Samwel akiwa na mkewe Kaindi wakishuka kutoka katika mlima kilimanjaro uliopo eneo la Mabibo jijini Dar es Salaam, walipokwenda kufanya utalii wa ndani.Baada ya kufunga ndoa yao kwa Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Januari 28.
Comments