BALIMI YAZINDUA MUONEKANO MPYA SHINYANGA

Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa muonekano mpya wa Bia ya Balimi Extra Lager Mkoani Shinyanga jana.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Amina Masenza(kulia) akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa muonekano mpya wa Bia ya Balimi Extra Lager Mkoani Shinyanga jana.Kushoto ni Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa na Meneja mauzo wa Mkoa wa Shinyanga, Robert Michael.
Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na wakina Dada walioshona sare za Balimi Extra Lager wakati wa uzinduzi wa muonekano mpya wa Bia ya Balimi Extra Lager Mkoani Shinyanga jana.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

𝙂𝘼𝙈𝙊𝙉𝘿𝙄 𝙆𝘼𝘾𝙃𝙀𝙕𝘼 𝙆𝙄𝘽𝙄𝙉𝙂𝙒𝘼.