Mchezaji wa timu ya Darts mkoa wa Mwanza akirushale kwenye mchezozo wa fainali wa mashindano ya safari lager Darts championship yaliyofanyika jijini mwanza usiku wa kuamkia leo. |
Mgeni rasmi wa fainali za safari darts ngazi ya Taifa Afisa utamaduni wa mkoa wa Mwanza Rosemary Makenke akikabidhi zawadi kwa mabingwa wa mashindano hayo Taifa timu toka mkoa wa Mwanza baada ya kufanikiwa kuibuka washindi wa jumla kwenye wa fainali wa mashindano ya safari lager Darts championship yaliyofanyika jijini mwanza usiku wa kuamkia leo
Comments