Bibi msanii wa wa muziki wa kizazi kipya Bibi Cheka akishikiliwa na wasamaria wema baada ya kuanguka leo katika bonanza la wanahabari lililodhamiminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Msasani Club, Dar es Salaam.
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta akihutubia wakati wa Bonanza la Waandishi wa Habari lililodhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Msasani Club, Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), Juma Pinto. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)Mmiliki wa Blog hii Kamanda Mwaikenda akiwa kazini leo katika bonanza hilo la kukata na shoka
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta akihutubia wakati wa Bonanza la Waandishi wa Habari lililodhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Msasani Club, Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), Juma Pinto. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)Mmiliki wa Blog hii Kamanda Mwaikenda akiwa kazini leo katika bonanza hilo la kukata na shoka
Comments