Habari zilizotufikia punde ni kwamba gari la abiria aina ya Coaster inayofanya safari kati ya Morogoro -Dar, imepata ajali mbaya katika eneo la Kibaha, Pwani jioni hii, ambapo imeua watu 6 na kujeruhi watu 46.
Inadaiwa ajali hiyo imetokea wakati dareva wa Coaster, akijitahidi bila mafanikio kuikwepa Bajaj iliyokuwa mbele yake.. Wadau tunaahidi kuwaletea habari zaidi juu ajali hiyo kadri tutakavyokuwa tunazipata kupitia vyanzo vyetu
Inadaiwa ajali hiyo imetokea wakati dareva wa Coaster, akijitahidi bila mafanikio kuikwepa Bajaj iliyokuwa mbele yake.. Wadau tunaahidi kuwaletea habari zaidi juu ajali hiyo kadri tutakavyokuwa tunazipata kupitia vyanzo vyetu
Comments