Wafuasi wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) , wakipeperusha bendera ya chama hicho kipya huku wakiwa kwenye pikipiki wakati wakitoka kwa Msajili wa Vyama vya Siasa nchini baada ya chama chao kupata usajili wa muda Dar es SalaamMsajili wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa (kushoto) akimkabidhi cheti cha usajili wa muda Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Said Miraji katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam Mwenyekiti wa ADC, Said Miraji (kulia) akionesha cheti cha usajili wa muda
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments