Mchezaji wa Jambo Leo Juma Pinto akiumiliki mpira mbele ya mchezaji wa Free Media, Martin Malera (kulia) wakati wa mchezo wao leo. (PICHA NA DOTTO MWAIBALE)
Baadhi ya wachezaji wa akiba wa timu ya soka ya Jambo Leo wakiwa katika benchi lao wakifuatilia mchezo wa timu yao dhidi ya Free Media, katika mashindano Vyombo vya Habari ya kuwania Kombe la NSSF, katika viwanja vya TCC Club. Jambo Leo iliifunga Free Media magoli 8-1.
Pinto akiendelea kunyanyasa
Mshambuliaji wa Jambo Leo, Julius Kihampa akimtoka Mohamed Masenga wa Free Media.(PICHA NA DOTTO MWAIBALE)
Mchezaji Martine Malera wa Free Media, akishangilia bao la kufutia machozi alilofunga dhidi ya magoli 8 waliyofungwa na Jambo Leo. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Comments