JENERALI MWAMUNYANGE AWAPIGA MSASA VIONGOZI WA WA JESHI LA POLISI

Mkuu wa Majesh ya ulinzi na usalama Nchini Davis Mwamunyange akitoa Mada jana katika Mkutano Mkuu wa Maafisa wakuu wa Jeshi la Polisi unaoendelea katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi, Mkoani Kilimanjaro.(Picha na Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi)

Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama Nchini Davis Mwamunyange akizungumza na Maafisa wakuu wa Jeshi la Polisi jana baada ya kutoa mada katika mkutano wa maafisa hao unaoendelea katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi, Mkoani Kilimanjaro. Kushoto ni Mkuu wa Jeshi la Polisi Said Mwema. (Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Said A. Mwema akifafanua jambo jana katika Mkutano Mkuu wa Maafisa wakuu wa Jeshi la Polisi unaoendelea katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi, Mkoani Kilimanjaro.(Picha na Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi)

Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama Nchini Davis Mwamunyange akizungumza na Mkuu wa Jeshi la Polisi jana baada ya kutoa mada katika mkutano wa maafisa hao unaoendelea katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi, Mkoani Kilimanjaro. (Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.