JIJI LA MBEYA LAZIDI KUTOA MPYA SASA WAZIBA VIRAKA VYA BARABARANI KWA KUTUMIA UDONGO

Baadhi ya mafundi wa jiji la Mbeya wakiendelea na kazi ya kuziba viraka vya barabarani kwa kutumia udongo na hii barabara haijamaliza hata miezi miwili toka viwekwe viraka vya sementi hii ni barabara muhimu sana ndiyo inayotumika kwa mabasi yote ya kwenda mikoa mbali mbali ya Tanzania

Udongo upo tayari kwenda kuwekwa kwenye mashimo ya barabara

Hapa tayari udongo umekwisha wekwa katika mashimo ya barabara angalia kwa makini picha hii utapanga wewe kuwa siku ngapi huo udongo utakuwa haupo tena kwenye shimo hilo

Hii ndiyo hali halisi

Kweli shimo kama hili lizibwe kwa udongo?

Je tutafika?

Imbombo jilipo

Mafundi wenyewe tayari wamechoka maana mara kwa mara wanarudia barabara hii. Chanzo; Mbeya Yetu Blog

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*