Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua warsha ya siku mbili ya mikakati ya kiuchumi ya kuondoa umaskini iliyoandaliwa na REPOA katika hoteli ya White Sands jijini Dar es salaam
RaisDkt Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa kwa hotuba nzuri ya ufunguzi na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa REPOA Profesa Esther Mwaikambo na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa REPOA Profesa Samuel Wangwe
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza Katibu Mtendaji a Tume ya Mipango Dkt Phillip Mpango akitoa mada ya ufunguzi wa warsha hiyo ya siku mbili ya REPOA. Wengine toka shoto Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa REPOA Profesa Esther Mwaikambo na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa REPOA Profesa Samuel Wangwe na Balozi wa Uholanzi nchini Dkt Ad Koekkoek.
Rais Jakaya Kikwete akimpongeza Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Dk. Phillip Mpango kwa mada nzuri. Kati yao ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa REPOA Profesa Esther Mwaikambo na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa REPOA Profesa Samuel Wangwe na Balozi wa Uholanzi nchini Dkt Ad Koekkoek.
Profesa Do Duc Dinh toka Vietnam akitoa mada ya jinsi nchi yake ilivyofanikiwa kuondoa umaskini katika warsha hiyo.Rais Jakaya Kikwete akiongea na Profesa Ibrahim Lipumba baada ya kupiga picha ya pamoja na washiriki wa warsha ya siku mbili ya utafiti juu ya mageuzi ya kuondoa umaskini.
RaisDkt Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa kwa hotuba nzuri ya ufunguzi na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa REPOA Profesa Esther Mwaikambo na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa REPOA Profesa Samuel Wangwe
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza Katibu Mtendaji a Tume ya Mipango Dkt Phillip Mpango akitoa mada ya ufunguzi wa warsha hiyo ya siku mbili ya REPOA. Wengine toka shoto Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa REPOA Profesa Esther Mwaikambo na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa REPOA Profesa Samuel Wangwe na Balozi wa Uholanzi nchini Dkt Ad Koekkoek.
Rais Jakaya Kikwete akimpongeza Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Dk. Phillip Mpango kwa mada nzuri. Kati yao ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa REPOA Profesa Esther Mwaikambo na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa REPOA Profesa Samuel Wangwe na Balozi wa Uholanzi nchini Dkt Ad Koekkoek.
Profesa Do Duc Dinh toka Vietnam akitoa mada ya jinsi nchi yake ilivyofanikiwa kuondoa umaskini katika warsha hiyo.Rais Jakaya Kikwete akiongea na Profesa Ibrahim Lipumba baada ya kupiga picha ya pamoja na washiriki wa warsha ya siku mbili ya utafiti juu ya mageuzi ya kuondoa umaskini.
Comments