Jk AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM
Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika leo Ikulu jijini Dar es Salaam. Pamoja na mambo mengine kikao hicho kilikuwa na kazi ya kupitisha jina la mgombea wa CCM katika uchaguzi mdogo jimbo la Arumeru Mashariki mkoani Arusha (Picha na Freddy Maro).
Comments