JK AZUNGUMZA NA WAZEE WA MKOA WA DAR ES SALAAAM KUHUSU SULUHISHO LA MGOMO WA MADAKTARI

 Rais Jakaya Kikwete akihutubia katika mkutano na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, kuhusu suluhisho la mgomo wa madaktari. Kushoto ni Mwenyekiti wa Wazee Mkoa wa Dar es Salaam, Idd Simba.
 Sehemu ya umati wa wazee wa mkoa wa Dar es Salaam uliohudhuria mkuatano huo na JK
 Mmoja wa Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam, akiwa na ulepe wa usingizi wakati JK akizhutubia
 Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia), akimpongeza Rais Jakaya Kikwete baada ya kumaliza kuhutubia
JK na viongozi wengine wakiondoka baada kumalizika kwa mkutano

JK akiongozana na Makamu wake, Bilal kutoka nje baada ya kumalizika kwa mkutano

JK akiagana na baadhi ya wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijadiliana jambo na Dk. Bilal baada ya kumalizika kwa mkutano huo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*