Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowass (katikati) akiwasili katika viwanja vya Kikatiti, Jimbo la Arumeru Mashariki kwenye Mkutano wa kumpigia Kampeni mgombea ubunge wa kupitia CCM, Sioi Sumari leo
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa (kushoto) akimnadi mgombea ubunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Sioi Sumari katika mkutano wa kampeni uliofanyika LEO katika viwanja vya Kikatiti. Uchaguzi unafanyika Jumapili. (NA MPIGAPICHA WETU)
Msafara wa pikipiki ukimpokea Lowassa
Lowassa akilakiwa na Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama
Lowassa akihutubia
Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, akiwasalimia wananchi kwa mtindo wa kuonesha dole
Ngoma ya kimasai iktumbuiza katika mkutano huo
Comments