Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Emmanuel Humba (katikati) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu maandalizi ya maadhimisho ya miaka 10 ya mfuko huo tangu ulipoanzishwa 2001. Kulia ni Mkurugenzi Mwendeshaji wa NHIF, Eugen Mikongoti na Michael Mhando ambaye ni Mkurugenzi wa Utafiti na Takwimu wa mfuko huo.
Humba akisisitiza jambo katika mkutano huo
Jopo la viongozi wa mfuko huo wakiwa kitu kimoja
Mwandishi wa habari wa gazeti la Uhuru, Celina Wilson akiuliza swali
Wanahabari wakiwa kazini
Cameraman wa Kituo cha ITV, Idrisa Magomeni akiwa makini kuchukua tukio hilo muhimu
Humba akisisitiza jambo katika mkutano huo
Jopo la viongozi wa mfuko huo wakiwa kitu kimoja
Mwandishi wa habari wa gazeti la Uhuru, Celina Wilson akiuliza swali
Wanahabari wakiwa kazini
Cameraman wa Kituo cha ITV, Idrisa Magomeni akiwa makini kuchukua tukio hilo muhimu
Comments