MALEMA ASEMA ATAKWENDA MAHAKAMANI

Julius Malema, kiongozi wa tawi la vijana la chama tawala cha Afrika Kusini, ANC, amesema ikiwa atashindwa katika rufaa yake kwamba asifukuzwe kwenye chama, atafikisha kesi yake mahakamani.
Bwana Malema hapo awali alikataa kuwa atachukua hatua ya kisheria.
Alifukuzwa katika chama cha ANC, mwezi uliopita, kwa sababu alikashifu chama kutokana na matamshi yake kadha ya kibaguzi dhidi ya wazungu, na malalamiko juu ya Rais Jacob Zuma.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.