Baadhi ya wanafunzi wakijipanga kwaajili ya kuanza matembezi ya Uzinduzi wa Mkakati wa Uboreshaji wa Miundo- Mbinu ya Elimu katika kata ya Kipawa , Manispaa ya Ilala -Machi 17,2012- Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO.
Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete (alievaa traki suti ya Blue) akizindua Matembezi ya Mkakati wa Uboreshaji wa Miundo-mbinu ya Elimu katikakata ya Kipawa, Manispaa ya Ilala,mkoa wa Dar es Salaam Machi,17,2012.(pichani kutoka kulia wapili mwenye miwani)ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala.Jerry Slaa,(akifuatiwa na alievaa traki suti nyeupe) Diwani wa Kata ya Kipawa Bona Kalua, Sherehe hio pia imehudhuriwa na viongozi mbalimballi wa Serikali na wadau wa sekta ya uboreshaji wa miundo-mbinu ya elimu na mazingira wa kata hiyo, Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO.Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete (mwenye traki suti ya blue) akiongoza matembezi ya Uzinduzi wa Mkakati wa Uboreshaji wa Muindo-mbinu ya Elimu katika Kata ya Kipawa, Manispaa ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam Machi 17,2012. Pichani ( kulia) ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala ,Jerry Slaa, Katika matembezi hayo zilipatikana fedha na ahadi zaidi ya shilingi 18 milioni -.,ambapo Taasisi ya WAMA wamechangia milioni mbili (2m/-), na Wazziri wa Nishati na Madini pamoja na wadau wake wamechangia shilingi milioni10 (milioni kumi),(Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO).
Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete (mwenye traki suti ya blue) akiongoza matembezi ya Uzinduzi wa Mkakati wa Uboreshaji wa Muindo-mbinu ya Elimu katika Kata ya Kipawa, Manispaa ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam Machi 17,2012. Pichani ( kulia) ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala ,Jerry Slaa, Katika matembezi hayo zilipatikana fedha na ahadi zaidi ya shilingi 18 milioni -.,ambapo Taasisi ya WAMA wamechangia milioni mbili (2m/-), na Wazziri wa Nishati na Madini pamoja na wadau wake wamechangia shilingi milioni10 (milioni kumi),(Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO).
Mama Salma akihutubia |
Mama Salama akiwa katika picha ya pamoja |
Mama Salma akisalimiana na mbunge wa zamani jimbo la Ilala mama Martha Weja |
Wakazi wa kipawa wakimsikiliza Mama Salma
Wanafunzi wakimsikilia Mama Salama kikwete
Bendi ya Magereza ikiongoza maandamano
Mama Salma akipokea mchango kutoka kwa Mwanafunzi |
Comments