MKUU WA MKOA WA KAGERA ,MASAWE AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA KAGERA

Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Fabian Massawe akifungua mkutano wa wadau mkoani humo jana.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Emanuel Humba akitoa maelezo ya utangulizi kwa wadau.
Mjumbe wa Bodi ya NHIF, Prof. Joseph Shija akitoa salaam za bodi kwa wadau wa Mfuko huo.
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NHIF, Eugen Mikongoti na Mkurugenzi wa Takwimu na Utafiri, Michael Mhando wakisikiliza kwa makini hotuba ya Mkuu wa Mkoa.
Wadau wakifuatilia mada mbalimbali kutoka kwa Uongozi wa NHIF.
Wadau wakifuatilia mada.
Wadau wakifuatilia mada.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.