Msimamizi kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini, Chiku Saleh (kushoto) akishuhudia kuona namba ya mshindi wa M PESA katika Droo iliyofanyika, leo katika M,akao Makuu ya Kampuni ya Simu ya Vodacom, Dar es Salaam.
Ofisa wa Huduna za Ziada wa Vodacom, Patrick Makungu akichezesha Droo ya kumpata mshindi wa M PESA, Dar es Salaam. ambapo Ofisa Upelelezi wa Kituo cha Polisi Chang'ombe ameibuka kidedea na atazawadiwa sh. mil. 10
Ofisa wa Huduna za Ziada wa Vodacom, Patrick Makungu akichezesha Droo ya kumpata mshindi wa M PESA, Dar es Salaam. ambapo Ofisa Upelelezi wa Kituo cha Polisi Chang'ombe ameibuka kidedea na atazawadiwa sh. mil. 10
Comments