Mkurugenzi wa Vitambulisho Zanzibar Mohammed Juma Ame, akitowa maelezo ya mafanikio yao ya kushida katika kiwango cha Kimataifa cha Utengenezaji wa Vitambulisho, wakati wa sherehe za kutunukiwa Vyeti hivyo iliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Beach Mazizini.
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Ikulu Salum Maulid, akizungumza katika sherehe za kukabidhi Vyeti vya Ubora wa Kimataifa wa Utengenezaji Vitambuliza, zilizofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Beach Mazizini.
Wafanyakazi Ofisi ya Vitambulisho wakiwa makini kusubiri kupoke Vyeti vyao vya Ubora wa Utengenezaji Vitambulishi Kimataifa, kwa kazi inzuri wanayofanya kuboresha utegenezaji wa Vitambuli hivyo hapa Zanizbar na kutowa huduma hiyo kwa Taasisi mbalimba.
Wazee wa meza kuu wakimsikiliza Avraham Rost, Lead Auditor Quality&Certification Division, akizungumza katika sherehe hizo za kukabidhi Vyeti vya Ubora wa Kimataifa vya Utengenezaji Vitambulisho, kwa Ofisi ya Vitambulisho Zanzibar
Mameneja wa Ofisi ya Vitambulisho Zanzibar wakiwa makini wakimsikiliza Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Ikulu Salum Maulid, akitowa nasaha zake kwa Wafanyakazi wa Ofisi hiyo.
 Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Ikulu Salum Maulid, akiwa na kimoja ya Vyeti vya Ubora wa Kimataifa vya Utengenezaji Vitambulisho,kulia Lead Auditor, Quality&Certification Division Avraham Rost, Mkurugenzi wa Vitambulisho Zanzibar Mohammed Juma Ame,Securty &Quality Consultant Securitree Inter. Ltd Israel, Merav Vered.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA