WAZEE WA YANGA WAIOMBA TFF KUWAPUNGUZIA ADHABU WACHEZAJI WAO
Katibu mkuu wa baraza la wazee wa timu ya YANGA katikati mzee Ibrahimu Akilimali akiongea na waandishi wa habari leo katika makao makuu ya klabu ya Yanga jijini Dar es salaam juu ya ombi la wazee wa klabu hiyo kwa TFF kuwapunguzia adhabu wachezaji wa timu hiyo walioadhibiwa na TFF kutokana na utovu wa nidhamu walionyesha katika mechi kati ya Yanga na Azam baada ya kumpioga mwamuzi wa mchezo huo
)Baadhi ya waandishi wa habari walioudhuria katika mkutano huo wa wazee wa yanga wa kwanza kushoto ni Bw Omari katanga wa radio one stirio akifuatilia kwa umakini katika mkutano huo
(PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE)
Comments