ZIARA YA RAIS DK SHEIN WILAYA MJINI

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kuashiria uwekaji wa Jiwe la msingi Maskani ya Idrissa Abdulwakil,iliyopo Meya Mjini Zanzibar,akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Mjini leo.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na wananchi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi,Tawi la Meya Jimbo la Mpendae,wakati wa sherehe za uwekaji wa Jiwe la msingi Maskani ya Idrissa Abdulwakil,iliyopo Meya Mjini Zanzibar,akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Mjini leo.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo ya ujenzi kutoka,kwa Makame Mabrouk Hassan, Mwenyekiti wa Maskani ya Idrissa Abdulwakil,baada ya kuweka Jiwe la msingi Maskani hiyo,iliyopo Meya Jimbo la Mpendae Mjini Zanzibar,akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Mjini leo.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimkabidhi Kadi ya CCM,Amina Abdalla Mohamed,akiwa ni mwanachama mpya wa CCM Tawi la Meya Jimbomla Mpendae,katika sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi Maskani ya Idrissa Abdulwakil,huko Meya akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
Miongoni mwa viongozi wa CCM waliohudhuria katika sherehe za Uwekaji wa jiwe la msingi maskani ya Idrissa Abdulwakil,wakimsikiliza Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na wanachama hicho Tawi la CCM Meya,alipokuwa katika ziara ya Wilaya ya Mjini ya kuimarisha Chama Cha Mapinduzi.
Wanachama wapya wa CCM wakila kiapo baada ya kukabidhiwa kadi zao na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa katika ziara ya kuimarisha Chama huko Tawi la CCM Meya Jimbo la Mpendae leo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*