Airtel yafanya utambulisho kabambe wa huduma yao mpya ya Supa 5 ndani ya Coco Beach,jijini Dar

Mmoja wa wasanii wa kufoka foka,aliyejitambulisha kwa jina moja la Rich akimwaga mistari mapema leo jioni wakati kampuni ya simu za mikononi ya Airtel, ilipokuwa ikifanya utambulisho na uzinduzi  wa huduma  mpya ya airtel/Airtel Super 5 uliofanyika kwenye ufukwe wa Coco beach,jijini Dar.shoo kubwa ya uzinduzi kufanyika kesho jumapili hapo hapo coco beach siku nzima
Baadhi ya timu ya mauzo kutoka kampuni ya Airtel wakiuza bidhaa mbalimbali za kampuni hiyo mapema leo jioni wakati wa kampuni hiyo ,ilipokuwa ikifanya utambulisho na uzinduzi  wa huduma  mpya ya Airtel/Airtel Super 5 uliofanyika kwenye ufukwe wa Coco beach,jijini Dar.
Baadhi ya Wasanii wa kikundi cha Kinoko,kutoka Mwananyamala wakitumbuiza jukwaani mbele ya umati wa watu (hawapo pichani),mapema leo jioni wakati  kampuni ya simu za mikononi ya Airtel, ilipokuwa ikifanya utambulisho na uzinduzi  wa huduma  mpya ya airtel/Airtel Super 5 uliofanyika kwenye ufukwe wa Coco beach,jijini Dar.
Mmoja wa wafanyakazi kutoka timu ya mauzo ya kampuni ya Airtel akiinadi modem ya Airtel 3.75G yenye kasi zaidi kuliko zote nchini, leo jioni wakati wa kampuni hiyo ,ilipokuwa ikifanya utambulisho na uzinduzi  wa huduma  mpya ya airtel/Airtel Super 5 uliofanyika kwenye ufukwe wa Coco beach,jijini Dar.
Baadhi ya timu ya mauzo kutoka kampuni ya Airtel  wakiuza bidhaa mbalimbali za kampuni hiyo mapema leo jioni wakati kampuni hiyo ilipokuwa ikifanya utambulisho na uzinduzi  wa huduma  mpya ya airtel/Airtel Super 5 uliofanyika kwenye ufukwe wa Coco beach,jijini Dar.
Baadhi ya Wasanii wa kikundi cha Kinoko,kutoka Mwananyamala wakitumbuiza jukwaani mbele ya umati wa watu (hawapo pichani),mapema leo jioni wakati  kampuni ya simu za mikononi ya Airtel, ilipokuwa ikifanya utambulisho na uzinduzi  wa huduma  mpya ya airtel/Airtel Super 5 uliofanyika kwenye ufukwe wa Coco beach,jijini Dar.
Sehemu ya umati wa watu waliofika mapema leo jioni wakati kampuni ya simu za mikononi ya Airtel, ilipokuwa ikifanya utambulisho na uzinduzi  wa huduma  mpya ya airtel/Airtel Super 5 uliofanyika kwenye ufukwe wa Coco beach,jijini Dar.
Wateja wapya mbalimbali wakiendelea kuhamia Airtel, mapema leo jioni wakati kampuni ya simu za mikononi ya Airtel, ilipokuwa ikifanya utambulisho na uzinduzi  wa huduma  mpya ya airtel/Airtel Super 5 uliofanyika kwenye ufukwe wa Coco beach,jijini Dar.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA