CHADEMA WALIVYOZINDUA KAMPENI YA DIRA YA MABADILIKO 'MOVEMENT FOR CHANGE' JIJINI DAR 
 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Freeman Mbowe, akiwahutubia wananchi wa jijini Dar es Salaam, waliohudhuria mkutano wa chama hicho uliofanyika kwenye Viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam leo, kuhusu Dira ya Mabadiliko 'Movement For Change'.  
 Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, akitembeza kibakuli kuchangisha fedha za kuendeshea Kampeni hiyo.
 Sehemu ya wananchi waliohudhuria mkutano huo.
Kutoka (kushoto) ni Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, Tundu Lisu na Godbless Lema.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA