EVANS BUKUKU'S COMEDY CLUB ILIVYOWABAMBA MASHABIKI NDANI YA NYUMBANI LOUNGE JIJINI DAR ES SALAAM
















 Mchekeshaji wa maarufu nchini kutoka kundi la Vuvuzela Entertainment, Evans Bukuku akifanya vitu vyake ndani ya kiota cha Nyumbani Lounge jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya wageni waliojitokeza kushuhudia.
 ...aha... aha wengine waliamua kuweka kumbukumbu.
Kila mmoja alikuwa na furaha.
 ...yani wewe hapa ni kazi tu
 ...wakifuatilia kwa ukaribu.
 Mchekeshaji wa maarufu nchini kutoka kundi la Vuvuzela Entertainment, Evans Bukuku akiwa katika sura ya kazi.
Mambo yakihifadhiwa.
Mchekeshaji wa maarufu nchini kutoka kundi la Vuvuzela Entertainment, Evans Bukuku akiwa pamoja na Enika wa kundi hilo wakionyesha maujuzi yao ya kuimba. Picha zote na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA