HARUNA MOSHI AKIWA HUKO LEMBA KINSHASA KATIKA MAZISHI YA PATRICK MAFISANGO, WAOMBOLEZAJI WAFURIKA

Haruna Moshi Boban wa pili kutoka kushoto na Mussa Hassan Mgosi wa kwanza kushoto wakizungumza na wenyeji wao wakati wa mazishi ya aliyekuwa mchezji wa timu ya Simba marehemu Patrick Mutesa Mafisango leo huko Lemba, Kinshasa DRC Congo Fullshangwe imeshuhudia tukio hilo na itakuwa ikikumuvuzishia kadiri matukio yatakavyokuwa yakiingia..
Waombolezaji wamejitokeza kwa wingi sana katika mazishi ya Mafisango huko Lemba nje kidogo ya jiji la Kinshasa.Kwa hisani ya Full Shangwe Blog
Waombolezaji wakiwa katika mstari tayari kwa kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Patrick Mafisango.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*