JK AKUTANA NA MJUMBE WA RAIS WA BURUNDI IKULU DAR ES SALAAM LEO
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Ikulu jijini Dar es salaam leo May 30, 2012 Mjumbe maalumu kutoka serikali ya Burundi, Mh Martin Nivyabandi, ambaye ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii wa nchi hiyo. Kati ni Balozi wa Burundi nchini Tanzania
(PICHA NA IKULU)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea Ikulu jijini Dar es salaam leo May 30, 2012 na Mjumbe maalumu kutoka serikali ya Burundi, Mh Martin Nivyabandi, ambaye ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii wa nchi hiyo. Kushoto ni Balozi wa Burundi nchini Tanzania
Comments