JK ATANGAZA MABADILIKO YA BARAZA LA MAWAZIRI

Rais Jakaya Kikwete akitangaza mabadiliko ya Baraza la Mawaziri leo jioni Ikulu, Dar es Salaam.

PRESIDENT’S OFFICE,
      THE STATE HOUSE,
              P.O. BOX 9120,  
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
 
ORODHA YA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI
 MAWAZIRI 
1. OFISI YA RAIS
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu)
Ndugu Stephen M. Wasira, Mb.,
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Utawala Bora)
Ndugu George Mkuchika, Mb.,
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (UTUMISHI)
Ndugu Celina Kombani, Mb.,
  
2.      OFISI YA MAKAMU WA RAIS
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MUUNGANO)
Ndugu Samia H.  Suluhu, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MAZINGIRA)
Dr. Terezya P.L. Huvisa, Mb.,
3.      OFISI  YA WAZIRI MKUU
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri  Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji)
Ndugu Mary M. Nagu, Mb.,
 Waziri wa Nchi, Ofisi  ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Hawa Ghasia, Mb.,
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge)
Ndugu William V. Lukuvi, Mb.,
  
4.      WIZARA
 Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Ndugu Samuel J. Sitta, Mb.,
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Ndugu Shamsi Vuai Nahodha, Mb.,
 Waziri wa Ujenzi
Dr.  John P. Magufuli, Mb.,
 Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii
Dr. Hussein A.H. Mwinyi, Mb.,
 Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Dr. Shukuru J. Kawambwa, Mb.,
 Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
Ndugu Sophia M. Simba, Mb.,
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Ndugu Bernard K. Membe, Mb.,
 Waziri wa Katiba na Sheria
Ndugu Mathias M. Chikawe, Mb.,
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
Ndugu Emmanuel Nchimbi, Mb.,
 Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Dr. David M. David, Mb.,
 Waziri wa Kazi na Ajira
Ndugu Gaudentia M. Kabaka, Mb.,
 Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
Prof.  Makame M. Mbarawa, Mb.,
 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Prof.  Anna K. Tibaijuka, Mb.,
 Waziri wa Maji
Prof. Jumanne Maghembe,  Mb.,
 Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum
Prof. Mark Mwandosya, Mb.,
 Waziri wa  Kilimo, Chakula na Ushirika
Eng. Christopher Chiza, Mb.,
 Waziri wa Uchukuzi
Dr. Harrison Mwakyembe, Mb.,
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
Dr. Fenella E. Mukangara, Mb.,
 Waziri wa Maliasili na Utalii
Ndugu Khamis Kagasheki, Mb.,
 Waziri wa Viwanda na Biashara
Dr. Abdallah O. Kigoda, Mb.,
 Waziri wa Fedha
Dr. William Mgimwa, Mb.,
 Waziri wa Nishati na Madini
Prof. Sospeter Muhongo, Mb.,
5.      NAIBU MAWAZIRI
  
 OFISI YA RAIS
 HAKUNA NAIBU WAZIRI
  
6.      OFISI YA MAKAMU WA RAIS
 Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais
Ndugu Charles Kitwanga, Mb.,
  
7.      OFISI YA WAZIRI MKUU
 Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi  ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Majaliwa K. Majaliwa, Mb.,
 Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi  ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Aggrey Mwanry, Mb.,
  
8.      WIZARA MBALIMBALI
 Naibu Waziri wa Kazi na Ajira
Dr. Makongoro M. Mahanga, Mb.,
 Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
Ndugu Adam Malima, Mb.,
 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
Ndugu Pereira A. Silima, Mb.,
 Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara
Ndugu Gregory G. Teu, Mb.,
 Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Ndugu Benedict N. Ole-Nangoro, Mb.,
 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Ndugu Mahadhi J. Maalim, Mb.,
 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo  ya Makazi,
Ndugu Goodluck J. Ole-Medeye, Mb.,
 Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
Ndugu Ummy A. Mwalimu, Mb.,
 Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Ndugu Philipo A. Mulugo, Mb.,
 Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Dr. Abdulla Juma Abdulla, Mb.,
 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii
Ndugu Lazaro Nyalandu, Mb.,
 Naibu Waziri wa Ujenzi
Ndugu Gerson Lwenge, Mb.,
 Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,
Dr. Seif Suleiman Rashid, Mb.,
 Naibu Waziri wa Nishati na Madini
Ndugu George Simbachawene, Mb.,
 Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
Ndugu January Makamba, Mb.,
 Naibu Waziri wa Uchukuzi
Dr. Charles J. Tizeba, Mb.,
 Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
Ndugu Amos Makala, Mb.,
 Naibu Waziri wa Maji
Eng. Dr. Binilith Mahenge, Mb.,
 Naibu Waziri Nishati na Madini
Ndugu Stephen Maselle, Mb.,
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria
Ndugu Angela Jasmine Kairuki, Mb.,
Naibu Waziri wa Fedha
Ndugu Janet Mbene, Mb.,
Naibu Waziri wa Fedha
Ndugu Saada Mkuya Salum, Mb.,
 Wataapishwa Jumatatu tarehe 8 Mei, 2012 saa 5.00 asubuhi katika viwanja vya Ikulu
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
4 Mei, 2012

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI