Mkutano wa Kujadili Maendeleo ya Matumizi ya Nishati Karne ya 21 Kwa Nchi za Afrika Wamalizika Nchini Afrika Kusini

 Pichani shoto ni Rais Mtsaafu wa Zanzibar,Mh Abeid Aman Karume akifafanua jambo mbele ya wageni waalikwa mbalimbali waliofika kwenye mkutano huo uliohusu maendeleo ya matumizi ya nishati karne ya 21 kwa nchi za Afrika
 Balozi Charles Stith  ambaye aliwahi kuwa balozi wa Marekani nchini Tanzania (Mratibu mkuu wa mkutano),akifafanua jambo kwa wageni waalikwa.
  Pichani juu ni wageni waalikwa mbalimbali waliofika kuhudhuri mkutano huo wa maendeleo ya matumizi ya nishati karne ya 21 kwa nchi za Afrika
  Mmoja wa wageni waalikwa akichangia jambo.
  Wageni waalikwa wakifuatilia jambo wakati mkutano ukiwa unaendelea. 
 Wageni waalikwa mbalimbali wakihudhuria mkutano wa kujadili  maendeleo ya matumizi ya nishati karne ya 21 kwa nchi za Afrika,Mkutano huo uliowakutanisha Marais Wastaafu nane wa Afrika,umefikia tamati jana ndani ya chuo kikuu cha Witwatersrand, jijini Johannesburg, Afrika Kusini .
 Pichani shoto ni Rais Mtsaafu wa awamu ya pili wa Tanzania,Mh Ally Hassan Mwinyi akiagana na Balozi Charles Stith  ambaye aliwahi kuwa balozi wa Marekani nchini Tanzania (Mratibu mkuu wa mkutano), mapema jana jioni,mara baada ya mkutano wa siku tatu uliohusu kujadili  maendeleo ya matumizi ya nishati karne ya 21 kwa nchi za Afrika,Mkutano huo uliowakutanisha Marais Wastaafu nane wa Afrika,umefikia tamati jana ndani ya chuo kikuu cha Witwatersrand, jijini Johannesburg, Afrika Kusini .
Pichani shoto ni Rais Mtsaafu wa awamu ya tatu wa Tanzania,Mh Benjamin Mkapa akiagana na Balozi Charles Stith  ambaye aliwahi kuwa balozi wa Marekani nchini Tanzania mapema jana jioni,mara baada ya mkutano wa siku tatu uliohusu kujadili  maendeleo ya matumizi ya nishati karne ya 21 kwa nchi za Afrika,Mkutano huo uliowakutanisha Marais Wastaafu nane wa Afrika,umefikia tamati jana ndani ya chuo kikuu cha Witwatersrand, jijini Johannesburg, Afrika Kusini .
 Pichani shoto ni Rais Mtsaafu wa Zanzibar,Mh Abeid Aman Karume akiagana na Balozi Charles Stith  ambaye aliwahi kuwa balozi wa Marekani nchini Tanzania (Mratibu mkuu wa mkutano), mapema jana jioni,mara baada ya mkutano wa siku tatu uliohusu kujadili  maendeleo ya matumizi ya nishati karne ya 21 kwa nchi za Afrika,Mkutano huo uliowakutanisha Marais Wastaafu nane wa Afrika,umefikia tamati jana ndani ya chuo kikuu cha Witwatersrand, jijini Johannesburg, Afrika Kusini
Wahariri wa vyombo vya habari kutoka nchini Tanzania,wakiagana na Marais Wastaafu wa Tanzania,mara baada ya mkutano wa kujadili  maendeleo ya matumizi ya nishati karne ya 21 kwa nchi za Afrika,Mkutano huo uliowakutanisha Marais Wastaafu nane wa Afrika,umefikia tamati jana ndani ya chuo kikuu cha Witwatersrand, jijini Johannesburg, Afrika Kusini .
Pichani shoto ni Rais Mtsaafu  Nicéphore Dieudonné Soglo wa Benin akiagana na Balozi Charles Stith  ambaye aliwahi kuwa balozi wa Marekani nchini Tanzania (Mratibu mkuu wa mkutano), mapema jana jioni,mara baada ya mkutano wa siku tatu uliohusu kujadili  maendeleo ya matumizi ya nishati karne ya 21 kwa nchi za Afrika,Mkutano huo uliowakutanisha Marais Wastaafu nane wa Afrika,umefikia tamati jana ndani ya chuo kikuu cha Witwatersrand, jijini Johannesburg, Afrika Kusini
 Kushoto ni Balozi Charles Stith  ambaye aliwahi kuwa balozi wa Marekani nchini Tanzania (Mratibu mkuu wa mkutano),Rais Mtsaafu wa awamu ya pili wa Tanzania,Mh Ally Hassan Mwinyi pamoja na  Rais Mstaafu wa Zanzibar,Mh Abeid Aman Karume wakiwa katika picha ya pamoja jioni ya jana na Wahariri wa vyombo vya habari kutoka Tanzanania,mara baada kumalizika kwa mkutano wa kujadili  maendeleo ya matumizi ya nishati karne ya 21 kwa nchi za Afrika,Mkutano huo uliowakutanisha Marais Wastaafu nane wa Afrika,umefikia tamati jana ndani ya chuo kikuu cha Witwatersrand, jijini Johannesburg, Afrika Kusini .
 Baadhi ya Wanafunzi kutoka chuo kikuu cha Dar Es Salaam (UDSM) wakiwa katika picha ya pamoja mapema leo mara baada ya kushiriki mkutano wa kujadili  maendeleo ya matumizi ya nishati karne ya 21 kwa nchi za Afrika,Mkutano huo uliowakutanisha Marais Wastaafu nane wa Afrika,umefikia tamati jana ndani ya chuo kikuu cha Witwatersrand, jijini Johannesburg, Afrika Kusini .Picha na Ahmed Michuzi-Johanneburg

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI