Mkuu wa mkoa arusha awaapisha wakuu wa wilaya na kuwapa somo kubwa sana

Mkuu wa wilaya ya Arusha John Mongela akiwa anaapa kiapo cha utiifu mbele ya mkuu wa mkoa wa arusha Magesa Mulongo leo
Akuu wa wilaya ya Arumeru  Nyirembe Munasa akiwa anakula kiapo cha uaminifu mbele ya mgeni rasmi
 Wakuu wa wilaya wakiwa katika picha ya pamoja na mkuu wa mkoa  wa Arusha (picha zote na  Gladness Mushi-Arusha
 
Katika jiji la Arusha leo wakuu wapya wilaya wameapishwa ambapo  Mkuu wa mkoa wa Arusha magesa mulongo amewaotaka wasiliwe sifa na badala yake wahakikishe kuwa wanajikita zaidi katika kutatua kero za  wananchi.
Mbali na hayo aliwataka washirikiane na Madiwani katika kutatua tatizo la hati chafu ndani ya halmashauri kwa kuwa kati ya halmashauri zote jijini hapa iliyo na hati safi kidogo ni halmashauri ya Meru pekee

Pia aliwataka wakuu hao kuhakikisha hawapigwi chenga na sheria mbalimbali hasa za vijiji na ile ya asilimia ishirini kwa kila lkijiji kwa kuwa kwa sasa halmashauri zinakwepa sheria hiyo na hali hiyo inapelekea wenyeviti wa vijijiji kuwa katika hali nghumu ya kiutendaji

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.