Mnaombwa kwenda Muhimbili kuutambua mwili huu



Msichana anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 20 hadi 25, aligongwa pamoja na wenzake watano baada ya gari aina ya Toyota Canter, kuacha njia maeneo ya Tegeta na hatimaye kufikishwa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (Moi), Dar es Salaam, Jumapili Mei 13 na kupelekwa chumba cha wagonjwa mahututi, ambapo jana  saa 5, asubuhi, alifariki dunia.

 Mpaka sasa hawajulikani jamaa zake wala jina lake. Wanaombwa waliopotelewa na ndugu zao wafike Taasisi ya Moi kwa ajili ya kupata maelekezo na kuutambua mwili wa marehemu. Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.
Taarifa hii imetolewa na Idara ya Uhusiano Moi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*