Moi waadhimisha Siku ya Wauguzi

Mkurugenzi wa Uuguzi wa Kitengo cha Taasisi ya Tiba ya magonjwa ya ajali, mifupa, ubongo na mishipa ya fahamu (Moi), Bernadina Rambau, akizungumza na waauguzi wa taasisi hiyo, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wauguzi, duniani, Dar es Salaam jana. (Picha na Khamisi Mussa)






Wauguzi wa Taasisi ya Moi, wakiwasha mishumaa kwa ajili ya kusherehekea maadhimisho ya Siku yao, Dar es Salaam jana.


Wauguzi wa Moi, wakiwa na mishumaa kwa ajili ya kushrehekea maadhimisho ya Siku ya wauguzi duniani kwenye taasisi hiyo jana.


Baadhi ya wauguzi wa Taasisi ya Moi, wakila kiapo cha utiifu katika kazi, wakati wakiadhimisha Siku ya wauguzi duniani, Dar es Salaam jana.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA