PAMBANO LA NDONDI LAIVU MITAA YA BUKOBA


Kabla sijajua kisa cha valangati hili kwanza ni kucheza na Camera...
Mdau akitembezewa kichapo chenye mchanganyiko wa Matusi
Ni bongo la fearturing aka Kyankomela
Kisa ni kwamba kijana mmoja "mtanashati" aliyejichanganya mtaa wa Wamachinga waliopo barabara ya Government mkabala na msikiti wa Jamia.
Alionekana akitokea Nyuma ya Vibanda vya machinga hao,ndipo machale yalipowacheza na ikatokea hali ya sintofahamu na kuanza kumhoji ni wapi anatokea na baada ya kijana huyo kukosa jibu sahihi ndipo akatembezewa kichapo kikali kutoka kwa Machinga hao.Kwa hisani ya Bukobawadau Blog

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA