PPF Kanda ya Mashariki na Kati yakabidhi Msaada wa Madawati 30 katika Shule ya Msingi Kikundi Mkoani Morogoro

Afisa Mwendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF), Kanda ya Mashariki na Kati , Paulina Msanga (kushoto) akipeana mkono na Mwanafunzi wa Darasa la Saba katika Shule ya Msingi Kikundi , Latifa Athumani ikiwa ishara ya kukabidhi msaada wa madawati 30 yenye thamani ya Milioni 8/- shuleni hapo katika Manispaa ya Morogoro. Wanaoshuhudia ni Afisa Mwendeshaji wa Mfuko huo,  Astronaut Liganga (wa pili kulia) na Mkuu wa Shule hiyo, Donald Kulwa.

Afisa Mwendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF), Astronaut Liganga akiwaangalia wanafunzi, Silasi Zakaria (10) na Monica Seng'unda (10) mara baada ya mfuko huo kutoa msaada wa madawati 30 katika shule hiyo.

Afisa Mwendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF), Kanda ya Mashariki na Kati , Paulina Msanga akiwaangalia wanafunzi Silasi Zakaria (10) na Monica Seng'unda (10) mara baada ya mfuko huo kutoa msaada wa madawati 30 katika shule hiyo.
.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA