PPF Kanda ya Mashariki na Kati yakabidhi Msaada wa Madawati 30 katika Shule ya Msingi Kikundi Mkoani Morogoro

Afisa Mwendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF), Kanda ya Mashariki na Kati , Paulina Msanga (kushoto) akipeana mkono na Mwanafunzi wa Darasa la Saba katika Shule ya Msingi Kikundi , Latifa Athumani ikiwa ishara ya kukabidhi msaada wa madawati 30 yenye thamani ya Milioni 8/- shuleni hapo katika Manispaa ya Morogoro. Wanaoshuhudia ni Afisa Mwendeshaji wa Mfuko huo,  Astronaut Liganga (wa pili kulia) na Mkuu wa Shule hiyo, Donald Kulwa.

Afisa Mwendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF), Astronaut Liganga akiwaangalia wanafunzi, Silasi Zakaria (10) na Monica Seng'unda (10) mara baada ya mfuko huo kutoa msaada wa madawati 30 katika shule hiyo.

Afisa Mwendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF), Kanda ya Mashariki na Kati , Paulina Msanga akiwaangalia wanafunzi Silasi Zakaria (10) na Monica Seng'unda (10) mara baada ya mfuko huo kutoa msaada wa madawati 30 katika shule hiyo.
.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA