RACHEL KUZIKWA JUMATATU GOBA


ALIYEKUWA Mhariri wa michezo wa gazeti la Mtanzania marehemu Rachel Mwiligwa anatarajiwa kuzikwa keshokutwa (jumatatu) nyumbani kwao Goba. Marehemu aliyekutwa na umauti huo usiku wa kuamkia jana katika hospitali ya Mwananyamala alipolazwa kwa ugonjwa wa Nimonia, awali ilipangwa azikwe katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Katika hatua nyingine, kampuni ya BigRight Promotion kupitia kwa mkurugenzi wake Ibrahim Kamwe imepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Mhariri wa Michezo wa gazeti la Mtanzania, Rachel Mwiligwa kilichotokea leo (Mei 11 mwaka huu).kwa niaba ya mabondia,makocha na mapromota wa masumbwi nchini tunawataka familia ya rachel na kampuni ya New habari wawe wavumilivu katika kipindi hiki kigumu cha msiba. Tunatoa POLE! - MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU RACHEL PEPONI - "ameeein"

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA