RAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA ATINGA KIZIMBANI KUTOA USHAHIDI KATIKA KESI YA BALOZI MAHALU
Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa akitoka katika
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo, kutoa ushahidi
wake katika kesi inayomkabili aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini
Italia, Profesa Costa Mahalu, anayekabiliwa na shtaka la uhujumu
uchumi.
Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa akiondoka Mahakama hapo baada ya kutoa ushahidi wake.
Comments