Redds Miss Ustawi wa Jamii 2012 ni Hilda Edward

Redds Miss Ustawi wa Jamii 2012, Hilda Edward katikakati akipunga mikono baada ya kufanikiwa kutwaa taji hilo usiku wa kuamkia leo katika Shindano kali lililofanbyika katika Ukumbi wa Maisha Club jijini Dar es Salaam. Pamoja nae ni Mshindi wa Pili na watatu wa shindano hilo Nancy Wiliam na Ndenisia Mbowe. Washindi hawa wataungana na washindi wa Vyuo vingine katika Fainali za Redds Vyuo vya Elimu ya Juu Baade mwaka huu na kupata mshindi atakae wakilisha wasomi hao Fainali za Redds Miss Tanzania 2012.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA