Wachezaji wa timu ya Castle Lager Facebook FC, wakishangilia ubingwa katika michuano ya soka ya ufukweni wakati wa tamasha la kufunga ligi kuu ya England na kuzindua kampeni ya kumsaka shabiki bora wa mwaka atakayewakilisha nchi kushangilia mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) yanayotarajiwa kufanyika Afrika Kusini mwakani. Tamasha hilo lililoandaliwa na bia ya Castle Lager lilifanyika ufukwe wa Mbaramwezi, Msasani, Dar es Salaam jana.Picha zote na Kamanda Mwaikenda
|
Warembo wa Castle Lager wakishangilia wakati wa tamasha hilo |
|
Meneja wa Bia ya Castle Lager, Kabula Nshimo akielezea umuhimu wa tamasha hilo |
|
Mlinda mlango wa timu ya Castal Lager, akiokoa moja ya hatari iliyoelekezwa na Lamu FC |
Wachezaji wa Castal Lager Fasebook FC, wakishangiia
|
Wachezaji wa timu ya Tigo akiangalia mechi ya Lamu FC na Facebook FC |
Warembo wa Castal Lger, Rachel Lawrence na Queen Ndunguru wakipuliza vuvuzera
Mashabiki wakiangalia mechi za mwisho za Ligi ya England
Comments