TAMASHA LA CASTAL LAGER LA KUSAKA SHABIKI BORA WA LIGI YA ENGLAND LAFANA DAR

 Wachezaji wa timu ya Castle Lager Facebook FC, wakishangilia ubingwa katika michuano ya soka ya ufukweni wakati wa tamasha la kufunga ligi kuu ya England na kuzindua kampeni ya kumsaka shabiki bora wa mwaka atakayewakilisha nchi kushangilia mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) yanayotarajiwa kufanyika Afrika Kusini mwakani. Tamasha hilo lililoandaliwa na bia ya Castle Lager lilifanyika ufukwe wa Mbaramwezi, Msasani, Dar es Salaam jana.Picha zote na Kamanda Mwaikenda
Warembo wa Castle Lager wakishangilia wakati wa tamasha hilo

Meneja wa Bia ya Castle Lager, Kabula Nshimo akielezea umuhimu wa tamasha hilo

Mlinda mlango wa timu ya Castal Lager, akiokoa moja ya hatari iliyoelekezwa na Lamu FC
                                    Wachezaji wa Castal Lager Fasebook FC, wakishangiia

Wachezaji wa timu ya Tigo akiangalia  mechi ya Lamu FC na  Facebook FC

 Warembo wa Castal Lger, Rachel Lawrence na Queen Ndunguru wakipuliza vuvuzera
Mashabiki wakiangalia mechi za mwisho za Ligi ya England

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*