TBL YAMZAWADIA GARI, BAJAJI WAKALA BORA TANZANIA

Meneja wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Kanda ya Kusini ya Mbali,  James Kavuma (katikati), akimkabidhi ufunguo wa Bajaj, Augustine Kisinja baada ya kushinda uwakala bora wa bia za TBL nchini katika hafla iliyofanyika mjini Makambako, mkoani Njombe hivi karibuni. Pia Kisinja alizawadiwa gari aina ya Jac Canter lenye thamani ya sh. milioni 47.

Mfanyabiashara Augustine Kisinja ambaye ameshinda uwakala bora Tanzania kwa kuwa muuzaji na msambazaji mzuri wa vinywaji vya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), akiendesha Bajaj yyenye thamani ya sh. mil. 4.7 aliyozawadiwa na kampuni hiyo hivi karibuni mjini Makambako, Njombe. Pia Kisinja alizawadiwa gari aina ya Jac Canter lenye thamani ya sh. milioni 47.
Meneja wa Kampuni ya bia TBL kanda ya Kusini, James Kavuma, aliyekaa kulia akiwa na mshindi wa Gari na Bajaj Bw.Augustine Kisinja, katika picha ya pamoja na wafanyakazi wake wakati
wa makabidhiano hayo katika mji wa Makambako
 Kavuma wa TBL (kulia), akipongezwa na mmoja wa wageni waalikwa kwa kampuni hiyo kuwathamini wafanyabiashara wa bidhaa zao.
Mfanyabiashara Kisinja (kulia), akizungumza na Kavuma wa TBL baada ya kukabidhiwa zawadi

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA