WANAFUNZI WAMWADABISHA MZUNGU MVUTA SIGARA AIRPORT DAR

Wanafunzi wakimkimbilia  mzungu kumuonesha mabango yanayokataza kuvuta tumbaku wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kukataza kuvuta Tumbaku Duniani leo Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa jULIUS nYERERE, Dar es Salaam.
Wakiendelea kumuandama mzungu huyo ambaye hata aliendelea kuvuta sigara bila hofu
Mzungu akiwa amezingirwa na matango kila mahala
Hatimaye ameamua kusalimu amri na kuanza kusoma tangazo
                                        ASkiwa hoi baada ya purukushani hiyo. PICHA NA KHAMIS MUSSA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA