WANAFUNZI WAMWADABISHA MZUNGU MVUTA SIGARA AIRPORT DAR

Wanafunzi wakimkimbilia  mzungu kumuonesha mabango yanayokataza kuvuta tumbaku wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kukataza kuvuta Tumbaku Duniani leo Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa jULIUS nYERERE, Dar es Salaam.
Wakiendelea kumuandama mzungu huyo ambaye hata aliendelea kuvuta sigara bila hofu
Mzungu akiwa amezingirwa na matango kila mahala
Hatimaye ameamua kusalimu amri na kuanza kusoma tangazo
                                        ASkiwa hoi baada ya purukushani hiyo. PICHA NA KHAMIS MUSSA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.