WAZIRI ABOOD AKUTANA NA MAASKOFU LEO
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohd Aboud Mohamed akifafanua jambo alipozungumza na Maaskofu mbalimbali kufuatia kwa matatizo yaliotokezea Zanzibar ya kuchomwa Moto kwa Makanisa mbalimbali,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohd Aboud Mohamed wakwanza kushoto akisalimiana na Askofu Mkuu wa Anglican Tanzania Dk Valentine Mokiwa baada ya kumaliza kwa mazungumzo yao pamoja na Maaskofu mbalimbali,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohd Aboud Mohamed wakwanza kushoto akisalimiana na Askofu Mkuu wa Anglican Tanzania Dk Valentine Mokiwa baada ya kumaliza kwa mazungumzo yao pamoja na Maaskofu mbalimbali,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.
Askofu Mkuu wa Anglican Tanzania Dk Valentine Mokiwa akifanya mahojiano na Muandishi wa BBC kuhusiana na matatizo yaliotokezea Zanzibar ya kuchomwa Moto kwa Makanisa mbalimbali,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.
Comments