WAZIRI ABOOD AKUTANA NA MAASKOFU LEO

Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohd Aboud Mohamed akifafanua jambo alipozungumza na Maaskofu mbalimbali kufuatia kwa matatizo yaliotokezea Zanzibar ya kuchomwa Moto kwa Makanisa mbalimbali,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohd Aboud Mohamed wakwanza kushoto akisalimiana na Askofu Mkuu wa Anglican Tanzania Dk Valentine Mokiwa baada ya kumaliza kwa mazungumzo yao pamoja na Maaskofu mbalimbali,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.
 
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohd Aboud Mohamed wakwanza kushoto akisalimiana na Askofu Mkuu wa Anglican Tanzania Dk Valentine Mokiwa baada ya kumaliza kwa mazungumzo yao pamoja na Maaskofu mbalimbali,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.
Askofu Mkuu  wa Anglican Tanzania Dk Valentine Mokiwa akifanya mahojiano na Muandishi wa BBC kuhusiana na  matatizo yaliotokezea Zanzibar ya kuchomwa Moto kwa Makanisa mbalimbali,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.
 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*