YANGA NA SIMBA WASHIRIKI UZINDUZI RASMI WA 100 TZ FLAVA YA BIA YA KILIMANJARO


Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager George Kavishe akizindua rasmi Kampeni ya 100% TZ Flava inayoendeshwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager huku akiwa  na Wachezaji wa Vilabu vya Simba na Yanga, wasanii wa Bongo Movie na Bongo Flava. Uzinduzi huo ulifanyika katika Ukumbi wa Nyumbani Lounge Jijini Dar es Salaam juzi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA