AJALI YA MELI YA MV SKAGIT YASABABISHA BUNGE KUSITISHWA

Spika wa Bunge, Anne Makinda leo jioni amesitisha shughuli za bunge kufuatia ajali ya meli ya Mv SKAGIT, iliyozama leo katika Bahari ya Hindi ikitokea Dar es Salaam kwenda Pemba,'. Abiria wapatao 250 wanahofia kufa. Lakini habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba watu 12 wameopolewa wakiwa wamekufa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.