Bingwa wa mchezo wa pool mmoja mmoja (singles) Mkoa wa Shinyanga, Ndala Ndefu akicheza dhidi ya mpinzani wake Majaliwa Cyipilian wakati wa mashindano Safari Pool Taifa ngazi ya Mkoa yaliyofanyika katika Klabu ya Garden mwishoni mwa wiki.
Bingwa wa mchezo wa pool mmoja mmoja (Singles) Mkoa wa Shinyanga, Ndala Ndefu akionyesha kitita chake cha Shilingi laki tatu na nusu mara baada ya kutwaa ubingwa wakati wa mashindano Safari Pool Taifa ngazi ya Mkoa yaliyofanyika katika Klabu ya Garden mwishoni mwa wiki.
Bingwa wa mchezo wa pool mmoja mmoja (Singles) Mkoa wa Shinyanga, Ndala Ndefu akionyesha kitita chake cha Shilingi laki tatu na nusu mara baada ya kutwaa ubingwa wakati wa mashindano Safari Pool Taifa ngazi ya Mkoa yaliyofanyika katika Klabu ya Garden mwishoni mwa wiki.
Comments